Walioongoza katika matokeo ya mitihani ya Dar es Salaam katika mtihani wa Daraja la Juu walikuwa Miss Nurjehan Walli, wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Aga Khan, na Issa Shivji, wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Aga Khan. Pichani juu, sasa wote wawili wanasomea vyeti vyao vya elimu ya juu.