Eleweni kuwa hatuwezi kuishi kwa matumaini huku watawala wakiendelea kupora maliasili
Kitendo cha serikali kupeleka muswada June 28 ya kubadili sheria ili ziendane na mkataba wake na DP World ni ishara kuwa HAWATUOGOPI na WAMETUDHARAU
Mabadiliko ya sheria hayagusi bandari tu bali sekta ya usafirishaji na “uendelezaji wa maliasili” natural wealth - hii ni pamoja na mafuta, gesi, mbuga za wanyama, madini nk
Miaka michache mbele mamilioni ya watanzania wataporwa ardhi, rasilimali na kubaki bila matumaini
Binafsi nimeshtushwa na uroho na ukatili wao - sikujua ni wa kiwango hiki!
Hili genge halitaamka siku moja na kuacha mipango yao miovu - hawa wanahitaji kusimamishwa
Mtakumbuka hii tweet kama si leo hata miaka 10 baadaye
#TutaelewanaTu
Beyoncé, sanamu ya watetezi wa haki za wanawake wa ubepari, hulipa senti 64 kwa saa kwa wafanyikazi wa kike wanaotengeneza nguo za chapa yake #tvyPark katika wavuja jasho nchini Sri Lanka huku wakihubiri uwezeshaji wa wanawake.