Vituko mitandaoni. Tupia chako

Natumia jamii forum app,ila karibu 80% ya picha hazifunguki,sjui kwangu tu au Kuna mwenye hii changamoto?[emoji22]
Hiyo ishu ina miezi karibia mitatu sasa. Hiyo app wana mpango wa kuitelekeza. Kwa sasa itabidi utumie ile nyingine ambayo iko browser-based. Tumeanza kuizoea japo haiizidi ile app ya mwanzo iliyowapa umaarufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ