Vituko mitandaoni. Tupia chako

Natumia jamii forum app,ila karibu 80% ya picha hazifunguki,sjui kwangu tu au Kuna mwenye hii changamoto?
Hiyo ishu ina miezi karibia mitatu sasa. Hiyo app wana mpango wa kuitelekeza. Kwa sasa itabidi utumie ile nyingine ambayo iko browser-based. Tumeanza kuizoea japo haiizidi ile app ya mwanzo iliyowapa umaarufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ