Vituko mitandaoni. Tupia chako

Lobbyists katika nchi za wenzetu wanakuwa registered na lazima waseme kama wanafanya kazi kwa maslahi ya nani na kamwe hawapaswi kufanya lobbying kwa mambo yanayokwenda kinyume na interests za nchi zao maana huo ni uhaini.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…