Wasomi wakuu wa sheria wa nchi hii wanasema limkataba lina matatizo halafu eti anaibuka Mwijaku, Ki*enge (na mapoyoyo wenzake) au Steve Nyerere na Mpoto kujaribu kuaminisha umma kwamba mkataba uko poa. Pesa ni mwanaharamu aisee. Kuna watu wanaweza ukatetea hata makimba kuwa yana uturi safi hatari kisa tu wamelipwa
View attachment 2672109