Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wahaya wanajifanyga watu Bible kwa Kula Nzige jrs
Tena hapo huwaambii kitu na Ph.Ds zao. Kwanza ndiyo wanakwambia ensenene zina protini maalum zinazosaidia katika ukuaji wa haraka wa ubongo wa mtoto. Ukijumlisha na Omega fats wanazozipata kwa kula samaki wenye mafuta mafuta hasa emboju basi darasani ni moto wa kuotea mbali 😁😁😁

 
Kama ni hivyo dada zao wasingejaa mwananyamala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…