Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi, aliyepigana vita ya Kagera na akakitumikia Chama cha Mapinduzi mpaka kuwa Katibu Mkuu wa Chama. Mbunge wa Kuteuliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mstaafu, baba wa Watoto Wanne na Shabiki wa Simba. Mzee Yusuph Makamba ametimiza miaka 85 leo.