Waambie siku nyingine wakienda waongee na wenyeji...hasa hasa wazee...
Mi niliendaga sehemu Singida ndani ndani huko nikaulizia wazee wa kuongea nao nikaelekezwa kwa Bi. Kizee mmoja anayeogopwa eti mchawi. Niliongea naye sana na tukaishia kuwa marafiki wazuri mno hata leo nikifika anaacha shughuli zake zote ananisikiliza. Na kitu kilichonipeleka huko kilikwenda vizuri mno kuzidi hata wenyeji 😁😁😁