Ni kweli...
98 yrs bila miwani wala mkongojo.
Mungu Aendelee kumlinda Mzee Rukhsa. Alituokoa na kuvaa magunia enzi zileee....
Waziri wa kwanza na pengine pekee kuwajibika kwa kujiuzulu yalipotokea makosa katika wizara yake....
Na wake wawili ndo mpango mzima