Vituko mitandaoni. Tupia chako




Zumaridi wamwangalie vizuri. Siku akiwaambia wafuasi wake kuwa wakati wa kwenda kwenye maghorofa ya mbinguni umefika itakuwa patashika nguo kuchanika!
 
Video ya mchungaji mmoja kutoka nchini Nigeria imesambaa mitandaoni akiamuru simu za waumini wake ambazo hazikuwa na chaji, ibada itakapomalizika zitakuwa zimeingia chaji kupitia muujiza, huku muumini mmoja akitoa ushuhuda simu yake ilianza kuchaji ibada tu ilipoanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…