Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ni huo huo.

Kumbe hata sasa nishaliwa kichwa dah! Nilikuwa napitia baadhi ya picha za ma supa dupa yutong nilizowahi kuposti huko na kuzifuta kumbe mod yupo ananilia timing....Na hii inashangaza maana picha zangu nyingi huko huwa zinafutwa anyway...

Itoshe tu kusema kuwa sitakanyaga huko tena




Nimependa jinsi walivyokuunganishia hizo ban. Huyo mod kama unamfahamu mwambie kuna Mirinda yake huku...

Just avoid the petty issues. I can tell. You are not as calm as you used to be back in the day...Remember?
 
May 21 ni mbali. 😂 pole
Wangekuwa wanaalert mtu basi, ila wao ni shwaaaa lokapu.

Utawafahamia wapi hao mods 😃😃 ni ngumu.

Yeah, I do remember 🥰 narudi zamani ASAP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…