Sasa atokee kidume amuoe mama yake Hakimi, ampelekee moto....
Kama mali za Hatimi zitaendelea kubaki salama basi aendelee kuwekeza kwa mama.
NB: Hata mama mzazi nae ni jinsia ya kike kama mkeo....
Kuna namna/mahala anakazwa na anaachia siri zote..... (ashakum si matusi), tafakuri ya bi Kasinde.