Vituko mitandaoni. Tupia chako

Zinauzwa wapi na shilingi ngapi....

Nataka nijipatie yangu mapemaaa.
Ni algorithm tu mwanahisabati anachukua wastani wa kawaida wa binadamu wa kuishi kulingana na nchi unayotoka na kukufanyia mahesabu. Kabla hujainunua inabidi wai-calibrate kwa kuingiza data zako muhimu (umri, uzito, BMI, medical na family history yako...). Wanasema iko sahihi kwa asilimia 85 -95% kwa wale ambao watakufa kwa magonjwa na hata uzee. Mambo ya kufa kwa dharula kama ajali, kuuwawa... haihusiki...

Mimi siitaki hata ukinipa bure!
 
Niko mwishoni mwishoni
πŸ™πŸ™πŸ™ kwa niaba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…