Lini Mama Kijacho?
Mungu Akutangulie....
Nilishawahi kuingia Leba eti kushuhudia mweh!
Mbona hata dakika mbili sikumaliza? Ilibidi wanitoe. Na ndo maana naheshimu wanawake sana. What you go through kutuzalia hawa malaika ni Mungu tu Anajua.
Blessings ππΏππΏππΏ