Haha hoja ya udangaji, ushawahi ona wapi mama anatelekeza mali kisa dudu la nje π€ mama dangote na kiherehere chote lakini anajua mali kwanza mkuuu
Fungua ubongo wako isije kuwa na ww unaongea mambo ya ndotoni mkuuu nitajie mama moja aliyemsaliti mwanae kisa dudu la nje
Hii inadhihirisha kabisa. Umalaya wa kasi ulivyo na inaonekana kama kuna kidume huku kina nguvu za kiume basi huyu mbibi atampa kila kitu
Sasa ni wanawake wote wapo hivyo mkuuu au ni udangaji wake anataka ku generalise