Bora wewe ulijifunza mapema. Ila kuna watu hawasikiagi kuhusu wake za watu hadi wakifumwa ndio wanaanza kujutia.
Nimekumbuka ile video sijui tukio lilitokea wapi ila watu wanaongea lafudhi ya Pemba jamaa anapigwa na bapa la panga huku kaamriwa atoe nguo sijui walimla na yeye mana sikuona hadi mwisho
alikua anatia huruma lkn ajabu watu hawakomi tu.
Sent using
Jamii Forums mobile app