Afande Ramadhani Ali jana Machi 20 alifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza akikabiliwa na mashtaka mawili, Kurusha maudhui ya kingono mtandaoni na kukubali kuingiliwa kinyume na maumbile. Mshtakiwa aliyakana mashtaka yote akidai kuwa sio yeye, Kesi imeahirishwa mpaka tarehe 4 mwezi ujao.
View attachment 2567109