Nimepokea Malalamiko toka kwa wananchi Kanda ya ziwa.Nawaahidi Kila nitakapofanya Kampeni zangu nitahakikisha kutakua na Ugali wa Nguvu na Samaki, Nyama za kutosha ili watu wanaotoka kanda hizo pia waweze pata chakula wasitaabike na wali nyama
-Hashim Rungwe Mgombea Uraisi CHAUMA