Vituko mitandaoni. Tupia chako

Acha ukorofiii...


Muache mwenzio aondoe taswira na kumbukumbu mbaya akilini.....

He gat a shoulder to lean on...
.

Atarogaje na kuna watu hawarogeki...
Nilikuwa namzingua tu Mpare wa watu. Inaonekana alikutana na kakimbaumbau kamoja (kama haka kwenye picha) kakamnyorosha sawasawa mpaka leo angali ni majeruhi. Nikimwambia ahamie huku kwenye mabonge no siteresi hataki. Mwache apambane na hali yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…