Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wizi mpya mjini

Zinatangazwa ajira

Unatuma maombi

Unaitwa kwenye interview na shariti la kwanza lazima uende na Laptop


Mkifika wote mlioitwa kwa usaili mnawekwa kwenye chumba kimoja

Inafika muda wa breakfast, mnaelekezwa sehemu ya kwenda kwenye breakfast na mnatakiwa muache Laptop zote hapo kwenye meza maana mlangoni kuna walinzi kabisa


Inakuja na gari inawabeba mnaenda breakfast

Mkirudi
Nasema tena
Mkirudi
Narudia
Mkirudi
No mlinzi
No Laptop
KUNA MACHOZI TU


Sharing is Caring
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…