Unaitwa kwenye interview na shariti la kwanza lazima uende na Laptop
Mkifika wote mlioitwa kwa usaili mnawekwa kwenye chumba kimoja
Inafika muda wa breakfast, mnaelekezwa sehemu ya kwenda kwenye breakfast na mnatakiwa muache Laptop zote hapo kwenye meza maana mlangoni kuna walinzi kabisa
Inakuja na gari inawabeba mnaenda breakfast
Mkirudi
Nasema tena
Mkirudi
Narudia
Mkirudi
No mlinzi
No Laptop
KUNA MACHOZI TU