Sawa ni mtazamo wako na mimi huo ni mtazamo wangu. Kwa mtazamo wangu naamini hakuna clear line inayotenganisha wanawake wanaofaa kuolewa na wale wasiofaa, no one is perfect. Cha muhimu ni kumpata yule anayeweza kuchukuliana na mapungufu yako na wewe unaweza kuchukuliana na mapungufu yake hapo ndipo ulipo ugumu na ndio maana nimesema ni bahati.
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app