Jamaa kumbe huwa wanatumia madawa tena mengine ya hatari kweli kweli ndo maana scene inaweza kwenda lisaa lizima na zaidi mjulus uko ngangari binti anaugulizia. It is all fake!
Tafiti zinaonesha kuwa Barani Afrika Tanzania ndio Nchi inayo Ongoza kwa kuwa na Wanawake wengi ambao Hawana Akili Timamu, jee ni kweli au ni utafiti wa Kiwaki,.?
(Matendo matendo matendo) utajua tu yaani mimi kwenye familia yangu mwanamke mwenye akili niliyejidhirisha ni 1 tu basiiii wengine wote ni empty yaani imagine mtu yupo 39 anabehave kama 19 au mwenye 30 kama 17 ni utumbo mkuu sema mwenye brain yupo 72 anabehave kama 94 much love my grandma