Miss Faith Odunsi, mwenye umri wa miaka 15 aliiwakilisha Nigeria kwenye Shindano la Kimataifa la Hisabati, akazishinda China, Marekani, Uingereza na nyinginezo na kuwa mwanafunzi bora wa hisabati duniani...
Waamuzi walimwita Calculator mwishoni. Anasoma shuleni Nigeria sio nje ya nchi, anapaswa kusherehekewa. Hongera sana
View attachment 2512905