Vituko mitandaoni. Tupia chako

Aisee πŸ˜…πŸ˜…
Ugali na mchemsho?
Hapo labda nile mboga tu
Hicho ndicho kitakachokupata, kwa mfano, ukija kwangu Misungwi. Utachinjiwa beberu la mbuzi na matokeo yake ndo hayo. Nyama za kila aina. Na ni lazima ule kweli kweli maana usipokula ni dalili ya dharau na kutukosea heshima wenyeji wako. Na nyama zingine zinakaushwa (mitanda) ukiondoka tunakubebesha. Ikibidi na ngozi ya beberu lako pia unafungiwa vizuri.

Utayaweza haya? 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…