Vituko mitandaoni. Tupia chako

#HABARI Waziri wa Fedha @mwigulunchemba1 ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia EDCF kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano.
 
Alikuwa upande sahihi wa Historia. Haya mamikopo yatakuja kutuelemea tu. Trillions 30+ kwa mwaka mmoja is a lot of money na kibaya zaidi hazifanyi mambo ya kimaendeleo yakaonekana.

Mpaka 2030 sijui tutakuwa tumekopa kiasi gani kwa rate hii. Tuombe Mungu kikombe hiki kitupite vinginevyo tunakoelekea siyo kuzuri

 
Kujenga Znz ndiyo kipaumbele chetu kwa sasa, fursa haziji mara nyingi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…