Vituko mitandaoni. Tupia chako

Au sio
mm pekee kwetu ndio nimenyimwa mwili si unawajua wanyaki lkn. Labda nikizaa naweza bongeka.
 
Malizeni hilo bwawa la Nyerere tuondokane na hili tatizo once and for all. Mwendazake is dead hata mkiitelekeza miradi yake mikubwa hasa yenye maslahi kwa taifa mtakuwa mnamkomoa yeye aliyekufa au wananchi wenu walio hai?

Hustler Rutto amesema atajenga mabwawa makubwa mawili ya kufua umeme na yatakamilika early 2024. La kwetu si ajabu litakuwa bado linasuasua...kituko!

 
Au sio
mm pekee kwetu ndio nimenyimwa mwili si unawajua wanyaki lkn. Labda nikizaa naweza bongeka.
Nitakuwa nakusubiri. Ukizaa ukabongeka we nitonye tu kwa kweli


Siku hizi mnaiga usasa. Pisi nyingi za Kinyaki vimbaumbau siku hizi. Hata mabinti wa Kinyaki mlioko hapa wote vimbaumbau japo mmefungasha hatari. Mkiyutongika yaani dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…