Vituko mitandaoni. Tupia chako

una kazi tu ya kuja kusumbua pm fanya yako we dada, narudia tena fanya yako we dada. Bichwa tikitiki ni la kwangu hata useme nini litabaki kuwa langu tu na sio lako. Mzima wa afya wewe
Hunijui,sikujui na sina haja ya kukujua naona unafosi kutaka kunijua,


,naomba ujiheshimu eeeeh,usinitie nuksi,koma koma koma,




Hii ni reply yangu ya mwisho kwako,huwaga sina mazoea na vichaa wenye ugonjwa wa stress



Endelea kujifaragua khadija,uwanja wako.
 
🤔🤔🤔☹☹☹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…