Vituko mitandaoni. Tupia chako

mimi siwezi kubloku mtu, hatua ya kubloku ni ya mwisho kabisa mtu akiona nimefika huko asijisumbue hata kunisalimia akiniona
Sasa hapo unakuwa unamkomoa nani? Na unaweza kumfanyia hivyo mtu ambaye kweli ulikuwa unadai kufa na kupona kuwa unampenda? Atakuwa amekutendea kosa gani kubwa mpaka ufikie hatua hii mbali na cheating labda

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…