Kuishi kijijini kunahitaji moyo🙄
..unaenda kuoga, unakumbuka umesahau sabuni…
Unaenda kuchukua sabuni, kurudi bafuni unakuta ng’ombe tayari amekunywa maji yote..
Unaamua kufuata maji mengine kisimani, unarudi unakuta mbuzi anamalizia kula sabuni yote🤔😅