Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kutana na kabila la Dani huko Papua Guinea, Indonesia


Katika ndoa, mwanamume lazima akate kidole cha mkono wake wa kulia na kumpa bibi arusi kama mahari yake.

.na akitaka kumpa talaka hukatwa vidole viwili vya mkono wake wa kushoto, lakini akifa mkewe hukatwa vidole kumi vya mikono yake ikiwa ni ishara ya uaminifu kwake na kwamba hataolewa na mwanamume baada ya yeye.

Ukioa, ukiachana au ufe... kuna vidole vinapaswa kukatwa.

#Moyowangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…