Kidogo nizichape na Mhindi.
Maongezi yalikuwa hivi:
Munroe: Rafiki leta ile pensi
Mhindi: Ipi vana ipo ningi Sana
Munroe: Njoo na hiyo au acha nipe fulana ile au basi.
Katika kumsumbua mhindi Mara pensi Mara fulana.
Asiropoke " we sumbua Mimi taka PENZI taka FIRANA wewe ".