Umenikumbusha mbali sana Mtumishi Mwema. Nisamehe kwa yote aisee. Haka kakimbaumbau ni mpaka kifo kitutenganishe yaani.
Na wanasema hujafa hujaumbika. Mimi huyu kweli ni wa kubabaishwa na kakimbaumbau? Mimi huyu?
Mungu Akubariki Mtumishi Mwema. Unategemewa na wengi. Endelea kusimama katika kweli na kuokoa roho zilizopotea. Malipo yako utayakuta kwa Baba yetu mpendeka wewe
View attachment 2229666