Vituko mitandaoni. Tupia chako

On
Imenikumbusha mbali aisee.niko zangu darasa la 1 2 hivi,siendi shule mpaka nile hiyo.
mama alikuwa anapika vitumbua kwahiyo uhakika asubuhi kula.vingine ananipa naweka kwenye begi na madaftari humo humo Sina habari na kwa sababu nilikuwa sitaki kuchelewa basi naweka vya Moto hata havijachuja mafuta.siku madam anakagua madaftari mafuta ya kula tupu yani dah.
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mombasa at 9am shops are yet to be opened. When you ask residents they'll answer you "Dah kumamake huyu yuadhani Mombasa mji wa bidii,hapa Raha tu nyonyo. Kama wataka bidii kapeleke Busia au Kakamega."
unajua mama yangu anaitwaje?? .......kati ya hiyo miji uliyoitaja hapo chini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…