Vituko mitandaoni. Tupia chako

Baada ya kushiba futari nikakumbuka zamani wakati tunaanza kumiliki simu tulikua tunapiga namba 11111111111 tunaambiana ni za majini. Na kweli wakipokea wanaanza kututisha Ila mpaka leo cjui walikua ni kina nani wale

Mda mwingine walikua wanaunguruma kama mashetani vle
 
Na wanasema na ukipigiwa usipokee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…