Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wanasiasa malaya malaya tu (in Mwl. Nyerere's voice)
 
Alimtabiria mama kuwa anafaa kuwa Makamu wa Rais na kweli akawa. Sema tu madaraka yalimlewesha vinginevyo angepewa hata ubalozi akale raha alizozoea huko kuliko kuishi kwa hofu ya kufikishwa mahakamani kama ilivyo sasa. Hata kama ana pesa kiasi gani atakuwa hana amani huyu. Time will tell!
********************
 
That's why I hate politik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…