Waafrika bwana. Yaani tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana!
Wakati wenzetu huko wanaambiana kulala mtupu kunasaidia mzunguko wa damu na hivyo kuimarisha moyo na presha sisi bado tunatishiana kuingiliwa na wachawi. Bado safari yetu ni ndefu. Sad
Hamna kitu hapo...hata kama analo huyu litakuwa gumu sana...
Raha liwe laiiiini ukilibwatua tu kidogo linabwatuka na kutimbwilika kwa muda utafikiri unafanya utafiti wa athari za gravity kwenye vibrating soft body kama ilivyotabiriwa na nadharia ya Relativity ya Albert Einstein
Yeye ni celebrity. Na ucelebrity una gharama zake. Kumlinganisha na wanawake wa kijijini si sawa...Ukiwa public figure ni lazima usemwe - kwa mema au mabaya!