Kama unaclear mwenyewe hapo big up sana mkuu, kuna siku nilikuwa nakutana na mtu kutokana nayeye alikuwa amewahi eneo la tukio nkamwambia basi anywe hata soda nikija hapo nalipa halafu kipindi hiyo nimefulia majanga kibao, nikakuta ameagiza na chipsi yai na samaki juu
nilimletea noma pale mpaka jamaa wa chipsi akawa ana wasiwasi kama atalipwa ikabidi aingilie kati kunibembeleza