Vituko mitandaoni. Tupia chako

MACHO YALIYOLEGEA YANAONA MBALI!

Aliyekueleza kuwa Kampeni za Uchaguzi wa Rais nchini Tanzania mwaka 2025 hazijaanza basi huyo ni wale bahaji (wachawi)! Wenzako wameshaanza kampeni zao kitambo. Nenda kajionee mabango yaliyotamalaki Jijini Dar es Salaam katika Barabara ya Morogoro, Barabara ya Pugu na kwingineko! Tazama mabango yale na maudhui yake. Unafikiri mabango yamebeba picha na kaulimbiu za Mgombea Udiwani wa Kata ya Mchafukoge? Mawe! Mambo haya yanamhitaji Askofu kuyaongelea kwani yeye hata akifa atakuwa amefia kazini kama Yohana Mbatizaji! Wengine kuleni nazi au kuleni kobisi!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…