Vituko mitandaoni. Tupia chako

BOra huyu mzee katoa makavu live. Hamjuagi tuu nyie watoto wa kike baba zenu inatuuma sana miaka inaenda huolewi. Tunajua tuu lazima kuna lijaa linakukunja kunja mikao tofauti lakini no ring. Inauma sana

Kwa enzi za kisasa sioni haja ya kumlazimisha binti aoelewe, wewe muwezeshe kielimu na kama unao uwezo mpe hadi mtaji ajipange, haya mambo ya kulazimisha yanasababisha wanawake wanateswa sana kwenye hizi ndoa.

Binti wangu yuko chuo na nimepanga lazima apate mgawo wake wa urithi sawia na wanangu wa kiume.
 
Sio kwamba tunalazimisha not at all but huwezi kusema eti a caring father hapati disappointment kiwa mtoto wake wa kike yupo yupo tuu haolewi inauma bwana. It sends the message kuwa mtoto wangu anagegedwanhovyo hovyo tuu. That reflects poorly on me the father.

Kama vile wao wanawake wanapenda kuvaa shela na kuolewa ata sie wababa tunajisikia fahari pale unapo mkabidhi mwanao kwa mwanaume and u get to say kijanaa, mtunze mwanangu vizuri. Hizo hisia can not be explained its a great feeling of accomplishment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…