Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwa hiyo ndio tutaona ulimwengu ulitokeaje?
MUNGU ana nafasi kubwa sana katika uumbaji, sayansi inatafiti kazi za MUNGU na kuzienlight, Kitu kipya kitakuwa kwa wanadamu tu lakini hatutaona Ulimwengu uliumbwaje siku ile.
 
This is real talk
 
" Kutokana na mazoea ya Wagogo kudharaulika ndio kinachosababisha Mimi kushambuliwa mitandaoni. Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha , sio kwa sababu Nina pungufu lolote Ila kwa sababu Mimi ni mgogo." JOB NDUGAIView attachment 2061395
Unajidharau mwenyewe!
Ni mwasiasa gani aliyeachwa salama ambaye siyo mgogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…