Vituko mitandaoni. Tupia chako

Aaaa wapi!

Watu wa dini wako salama....na wataendelea kuwa salama tu kwa muda mrefu.

Mpaka sayansi itakapoweza kuelezea kilichokuwepo kabla ya Big Bang (let there be light!). What banged; and where did it all come from? Given its complexity and delicate balance, why should the universe go to all this trouble to exist in the first place?

Mimi ni mmojawapo wa watu wanaoamini kuwa Sayansi na Dini vinapaswa kukamilishana; na siyo kukinzana moja kwa moja. Na japo kunaweza kuwa na mgongano hapa na pale in fine details but at the end of the day kila mmoja ana nafasi yake katika kuelezea baadhi ya mambo. Sema tu watu wa Sayansi (kwa vile wanaweza kuthibitisha baadhi ya mambo), wao hujiona kuwa sababu zao zina mashiko zaidi.
 
Fafanua, maana kwa maisha yangu hilo ni tukio la tatu naliona (kusikia)
Moja kati ya hilo limegaharimu maisha ya mama mkubwa rafiki yangu wa karibu.

Funguka kiongozi ili tujifunze
Na kwenye huo uwanja wako hayo mambo ndiyo yamejichimbia hasa. Inaaminika kabisa kuwa bila hivyo huwezi kutoboa.

Mama unayemzungumzia ni yule wa juzi kule Arusha? Inasikitisha sana!
 
Fafanua, maana kwa maisha yangu hilo ni tukio la tatu naliona (kusikia)
Moja kati ya hilo limegaharimu maisha ya mama mkubwa rafiki yangu wa karibu.

Funguka kiongozi ili tujifunze
Wewe mwenyewe bro umekiri Umesikia!

Haya mambo hata kama yapo ila sio kama hivi visa vinavyotokea huku kwetu, mf kisa kama hiki cha kulala mbea kuamkia juu ya mti mtwara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…