Hii ndiyo Tanzania yetu.
Watatufanyia wangapi ubaya? Je, na watabaki wangapi wa kusifu?
Nitaendelea kufanya kazi muda wote hadharani, na siwezi kujificha maana wana mkono #Mrefu hao jamaa, hivyo sina namna ndipo tulipofikia hapa.
Asante sana mnipa taarifa, yupo karibu hukoooo na wazee
Toka FB
View attachment 2051915