Mara nyingi kinachokujia kinategemea na wewe mwenyewe. Huwezi kuwa mtenda maovu na mwonevu watu wanakuacha eti utegemee kitakuja kinachokufaa. Unachopanda ndo mara nyingi unavuna ila ma motivesheno spika ukijiingiza kwenye anga zao weee!
Mkuu, unaruhusiwa kuitafuta hio 'Aya' usome tafsiri yake, utaipata kwa kiswahili fasaha. Kwenye 'aya' zake zote hutaona inataja kumpa mtu hela kwa kutumia kuku wala sindano au hata kuokota!. Hizo ni 'Shirki' kama shirki nyingine watu wanazifanya kwa mgongo wa vitabu vitakatifu. Epuka shirki!.
Kwa tabia za viongozi wa taifa hili hata kama nchi yetu ingekuwa na ukubwa huu bado ungeskia tuna uhaba wa madawati,hospitali hazina dawa...wacha muchezo na +255 kabisa