Kampuni ya kutengeneza injini za anga na magari ya Uingereza Rolls-Royce imesema imeunda ndege yenye kasi zaidi duniani inayotumia umeme badala ya mafuta na imepewa jina la Spirit of Innovation, spidi yake ya mwisho inazimaliza kilometa 623 kwa saa. "Kufuatia mpango wa dunia dhidi ya mabadiliko...