Nimemkumbuka ingawa kwenye ubunifu wa picha hakuwa peke yake.
Pamoja naye kulikuwa na mkongwe aliyejulikana kwa jina la Philip Nduguru RIP.
Ndugu Mbajo baadaye alianzisha jarida lake ambalo hata hivyo halikutamba.
Baadaye alipata kazi kwenye Kanisa moja hapa mjini akiwa kama msemaji wa Askofu.
Amepotea muda mrefu kwenye tasnia ya majarida