Mie sina hamu na mwl Ngowi jamani. Hivi kwanini walimu wengi wa hesabu hufundisha kama wanafundisha magenius tupu!! Mie hesabu nilisoma mwisho kidato cha pili.
Walimu wa Kiswahili kazanieni sana matumizi sahihi ya h na irabu za Kiswahili. Siyo Kiingereza kitushinde na Kiswahili pia kha! View attachment 2003627