Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mie sina hamu na mwl Ngowi jamani. Hivi kwanini walimu wengi wa hesabu hufundisha kama wanafundisha magenius tupu!! Mie hesabu nilisoma mwisho kidato cha pili.
ndo zao hao

Chakushangaza form 1 na 2 nilikuwa napata daraja A na B,Ila nilichukia hesabu tangu standard 5

Heri yako form 2.bora mathe ya chemistry na physics,kuliko mathe kama mathematics.
 
ndo zao hao

Chakushangaza form 1 na 2 nilikuwa napata daraja A na B,Ila nilichukia hesabu tangu standard 5

Heri yako form 2.bora mathe ya chemistry na physics,kuliko mathe kama mathematics.
Ulianza kuzichukia mapema sana, mie msingi walaa sikuzichukia, nilianza kuzichukia sekondari tena kidato cha pili. Ndio ikawa mwisho kuzisoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…