Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwa wajuvi wa mambo ya sheria huyu 'mura' akishindwa kulipa pesa na kama hana hata mali za thamani(I mean za kuweza kutaifisha if need be) ndiyo kifuatacho inakuwaje?
Cha kwanza mali zake zinazohamishika na zisizohamishika zinakamatwa na dalali wa mahakama.
Zinathaniniwa kuona kama zinafanana na madeni anayodaiwa.
Zitauzwa, atalipwa mdeni wake.
Ikiwa hazikidhi haja, mdeni anaruhusiwa kwenda kumuhifadhi jela kwa sharti la kumpelekea chakula mpaka amalize kifungo chake.
 
Shukrani kwa highlights.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…