Walimuacha mtoto wao wa 5yrs ndani ya soko kwenye banda lao la biashara,.......usiku saa 8,mlinzi akasikia mtoto analia
,mlinzi akawafuata wazazi wake eti walilala kabisa walisema eti walimsahau
Niki kituko kilishangaza jamii wallah
Raia wakasema,wakinga hao,mambo yao wanayajua wenyewe