Ilishanitokea hii...ila kumbe binti alikuwa anashushiwa kipigo cha kufa mtu na njemba yake mpya...na alilazimishwa kupiga. Kahuruma kaliniingia nilivyoona jinsi alivyochanwa mdomo kwa ngumi japo pia kamoyo kengine kalikuwa kanajichekelesha "mwanakulifind mwanakuliget". Trash