Tupo hapa. Niliiba sigara ya tumbaku ya mzee mmoja hivi na kiberiti chake hiki nikaenda mahali nikawasha eti nipashe weee! Nilipiga pafu moja tu ya nguvu kifua kikabana nikakohoa mfululizo ikabidi waje kutoa msaada. Sijui ilikuwa tumbaku gani ile! Baada ya kutengamaa kibano kikali kikafuatia. Na kutoka siku hiyo sijagusa sigara tena. Kiberiti hicho kina laana wallahi