Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hatimae wasukuma wamepumua
Mwanzoni ulikuwa na ID nzuri sana japo ulikuwa mkorofi ajabu na mafurushi yako. Baadaye ukahamia kwa @Espy. Sasa tena sijui ndo umeamua kujiita Habun? Ni yale yale ya @Makiseo kuwa Makiwendo. Binafsi mnaniudhi mpaka basi sema tu sina cha kuwafanya labda itokee siku mmoja wenu ajichanganye aingie kwenye anga zangu. Hasira zote za drama za kubadili badili ID hizi kusiko na maana nitazimaliziamo kwa kweli. Hamfai
 

Umeisahau Atoto na Jael.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…